Posts

Showing posts from August, 2020

Kwa nini unashauriwa kutazama filamu,sinema,Movie??

Image
Filamu ni miongoni mwa sanaa bora

MATOKEO KIDAT0 CHA SITA 2020 (ACSEE RESULTS 2020)

Image
ACSEE 2020 RESULTS  Ingia hapa kuangalia Matokeo ya kidato cha sita yametoka leo tarehe 21 August

Kwanini Leo Messi anataka kuondoka Barca...

Image
 Mchezaji wa kimataifa kutoka Argentina  Leo Messi 33

ZIJUE HASARA ZA KUTOSHIRIKI UCHAGUZI KATIKA ENEO ULILOPO

Image
Vijana wengi tunasita kushiriki uchaguzi katika mazingira yetu kwa kutokujua hasara zitokanazo na kufanya hivyo.... UCHAGUZI mara nyingi hufanyika katika ngazi yoyote ile ambapo kuna jamii fulani ya watu,Ni wazi kuwa kundi la watu huwa linahitaji kuwa na Kiongozi, Maana hata wanyama mbugani nao pia wana Uongozi ambao unawaongoza katika mawindo wawapo nyikani.. Katika jamii inayohitaji maendeleo, Uchaguzi una nafasi kubwa sana katika kusimamia mipango na mikakati mbalimbali ya kijamii.Tunapozungumzia maendeleo katika jamii tunagusa moja kwa moja maendeleo ya mtu binafsi, maana mtu huwezi kuwa na maendeleo kama jamii inayokuzunguka haina maendeleo,, Kwakuwa maendeleo ya jamii humgusa mtu moja kwa moja hivyo basi tunaona wewe kama kijana Unayo nafasi kubwa sana ya kuamua   maendeleo katika jamii inayokuzunguka, Maana ya kuwa msomi ni kukufanya utambue kuwa una nguvu kubwa ya kuleta mabadiliko katika jamii yako yawe ni mabadiliko chanya au hasi Linakuwa ni jambo la kusikitisha sa...

KUELEKEA SUASO ELECTION 2020/2021

Image
Pata kumfahamu Frank Moses ambaye ni mgombea

"Fahamu zaidi..."

Image
Maisha ni mtiririko wa mambo yanayotokea duniani ambayo kwa ujumla wake hayachagui mtu,umri, jinsia wala muonekano wa mtu..Yote katika yote yanahitaji utayari,jitihada na imani ili kuyafikia. Mafanikio hayakuumbwa kwa sababu ya watu au mtu fulani,bali kwa kila aliye tayari kuyaendea,atakapofanya jitihada na kuwa na imani ya kile akifanyacho bila kuyumbishwa na mtu anaweza kufanikiwa kwa asilimia mia. Lakini pia katika kufikia mafanikio yoyote hatua muhimu kabisa ni kujifunza,kutambua kuwa katika jambo ulifanyalo kuna watu wamekuzidi hatua,hivyo basi ni vema zaidi kujifunza kutoka kwao.. Hii itakuongezea maarifa na kukupa stadi mpya za ubunifu katika kile ukifanyacho katika kuhakikisha unakuwa bora zaidi.. Daima usisite kujifunza